Notificaciones

Ver todo

Mkutano wa kamati ya Ubunifu na Ushauri (Innitiative Advisory Team)

  • Fecha 24 de marzo de 2017
  • Tiempo 09:00 - 11:30
  • Ubicacion EQWIP Hubs


EQWIP Hubs inatarajia kufanya mkutano wa kamati ya Ubunifu na Ushauri (IAT) . IAT inajukumu la kutoa ushauri, muongozo na mapendekezo juu ya kuhakikisha mchango na ushiriki wa wadau katika maamuzi na utekelezaji wa shughuli mbali mbali za program hii. IAT inatekeleza jukumu la msingi la kuhakikisha Vijana wa Tanzania wanashirikishwa katika uandaaji ,uongozi na utekelezaji wa miradi.

 
Volver a la lista de eventos